Kwa mujibu wa ripoti ya kitengo cha kimataifa cha Shirika la Habari la Hawza, Ofisi ya Mwakilishi wa Walii al-Faqih Azerbaijan ndani ys (Qom) itmeandaa kongamano la kimataifa lenye anuani ya “Kupinga ubeberu katika fikra za kiongozi shahidi” pamoja na hafla ya kuadhimisha Arubaini yake.
Katika kongamano hili, Hujjat al-Islam wa al-Muslimin Sa‘iwar, mkuu wa Ofisi ya Mwakilishi wa Walii al-Faqih katika Azerbaijan, Hujjat al-Islam wa al-Muslimin Husseini Kouhsari, Naibu wa Mawasiliano na Mambo ya Kimataifa wa Hawza, na Hujjat al-Islam wa al-Muslimin Qanbari, Naibu wa Mawasiliano na Mambo ya Kimataifa wa Jami‘at al-Mustafa, watatoa hotuba.
Tukio hili litafanyika siku ya Jumatatu, tarehe 17 Farvardin 1404 (6 April 2026) saa 16:00 katika ukumbi wa mikutano wa Ahl al-Bayt World Assembly uliopo katika barabara ya Jamhuri ya Kiislamu, kati ya Jamhuri 4 na 6, mjini Qom Iran.

Maoni yako